kiwanja kinauzwa, kipo Wilaya ya Temeke , mkoa wa Dar es Salaam.
ni umbali wa km 40 toka feri ya magogoni ,kina ukubwa wa sqm 1,383 kimepimwa , hati na offer bado hazijatoka , bei ni Tsh. 10m. kipo kimbiji kijaka .katika blok E.
plot no 678 tuwasiliane kwa 0657 145555.
Tom Real Estate Agent