Kiwanja na unfinished house kinauzwa

Kiwanja na unfinished house kinauzwa

ishedaddy

Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
24
Reaction score
0
Nyumba ipo kinyerezi dakika tano kutoka Mbuyuni ina sebule kubwa, na nafasi ya home office, dining room ya kutosha jiko,Store, Choo cha public, vyumba vitatu vya kulala kimoja ni Master bed room imezungushiwa ukuta umeme upo kiwanjani na Parking ya magari mpaka matatu gari linafika mpaka kwenye plot, eneo ni langu mwenyewe. Only 65m.
0767507487 / 0782898210. Nione kwa maelezo zaidi bei inaongeleka.
 

Attachments

  • 1413143462529.jpg
    1413143462529.jpg
    102.8 KB · Views: 143
  • 1413143588642.jpg
    1413143588642.jpg
    90.9 KB · Views: 128

Similar Discussions

Back
Top Bottom