mdaumzalendo1
Member
- Feb 2, 2018
- 76
- 50
Kiwanja chenye ukubwa wa Mita 30 kwa 17 kwa 20 chenye nyumba mbili zilizo kwenye lenta kinauzwa.Nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu vya kulala kimoja selfu,choo,sebule,dining na jiko
Nyingine ina vyumba viwili vya kulala na sebule kimoja selfu na choo cha nje.
Nyumba iko Boma Ng'ombe Hai.Nyumba zote zimefika kwenye lenta.
Bei ni milioni 5 maongezi yapo sana kwa watu walio serious nicheck pm
Umeme na maji vipo.Nyumba ipo umbali wa km 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha upande wa Kushoto ukitokea Arusha
Nyingine ina vyumba viwili vya kulala na sebule kimoja selfu na choo cha nje.
Nyumba iko Boma Ng'ombe Hai.Nyumba zote zimefika kwenye lenta.
Bei ni milioni 5 maongezi yapo sana kwa watu walio serious nicheck pm
Umeme na maji vipo.Nyumba ipo umbali wa km 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha upande wa Kushoto ukitokea Arusha