Kiwanja mt 40×20.kinauzwa Olasiti Arusha

Kiwanja mt 40×20.kinauzwa Olasiti Arusha

ZEE LA HEKIMA

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
1,422
Reaction score
1,849
Kiwanja cha mita 20 kwa 40 kinauzwa Olasiti Arusha. Kipo sehemu nzuri sana jirani kabisa na Sekondari ya Olasiti, jirani na Kanisa la Lutheran na jirani na Kanisa Katoliki. Pana umeme na maji. Barabara inafika mpaka getini kwako. Ni eneo ambalo nyumba zilizojengwa hapo zina hadhi ya juu tofauti na maeneo mengine yote ya Olasiti. Kiwanja kipo kama kilomita moja tu kutoka eneo ambalo moja ya stendi mbili mpya za Arusha zitajengwa. Kwa anayehitaji tuma ujumbe kwa watsap namba 0756799995, utatumiwa picha ya huo uwanja na bei yake.
 
Kiwanja cha mita 20 kwa 40 kinauzwa Olasiti Arusha. Kipo sehemu nzuri sana jirani kabisa na Sekondari ya Olasiti, jirani na Kanisa la Lutheran na jirani na Kanisa Katoliki. Pana umeme na maji. Barabara inafika mpaka getini kwako. Ni eneo ambalo nyumba zilizojengwa hapo zina hadhi ya juu tofauti na maeneo mengine yote ya Olasiti. Kiwanja kipo kama kilomita moja tu kutoka eneo ambalo moja ya stendi mbili mpya za Arusha zitajengwa. Kwa anayehitaji tuma ujumbe kwa watsap namba 0756799995, bei yake ni 4Mil.
Mkuu 4mil nyingi sana,
Kula 3mil chap chap
 
Kiwanja cha mita 20 kwa 40 kinauzwa Olasiti Arusha. Kipo sehemu nzuri sana jirani kabisa na Sekondari ya Olasiti, jirani na Kanisa la Lutheran na jirani na Kanisa Katoliki. Pana umeme na maji. Barabara inafika mpaka getini kwako. Ni eneo ambalo nyumba zilizojengwa hapo zina hadhi ya juu tofauti na maeneo mengine yote ya Olasiti. Kiwanja kipo kama kilomita moja tu kutoka eneo ambalo moja ya stendi mbili mpya za Arusha zitajengwa. Kwa anayehitaji tuma ujumbe kwa watsap namba 0756799995, utatumiwa picha ya huo uwanja na bei yake.
ZEE LA HEKIMA unauza bure maneno mengi hakuna bei.
 
Aisee unakiuza mil 40,mbona hela nyingi sana mkuu.
 
Kuna harufu ya kupigwa hapa

Yaan Hapo Olasiti 40*20 Milion nne nahisi huyu jamaa ni wale wale
 
Mkuu kwenye hiyo picha hapo katikati ni bwawa au mto ?
 
Kanunue zako kiwanja safari city hakuna longolongo nhc
 
Kiwanja chenyewe mbona sambusa? Halafu milioni 4 ni kubwa sana kwa hapo? Punguza bei maana kiwanja kimekaa kiSAMBUSA.
 
Kiwanja chenyewe mbona sambusa? Halafu milioni 4 ni kubwa sana kwa hapo? Punguza bei maana kiwanja kimekaa kiSAMBUSA.
Ndio hata mie nimeshangaa Kiwanja Pembe tatu halafu anauza 4mil yote hiyo,
Hapo kutafuta eneo mpaka uanze kutafuta sijui Kimo, uanze Nusu mara kitako, saa ngapi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom