MIMI NA TZ
Senior Member
- Apr 22, 2014
- 197
- 18
Kumbe kuna barabara ya mwanza dar?
Kiwanja ni kikubwa sana na kipo pembeni ya bara bara kuu jirani na MAMIZ HOTEL , hivyo kinafaa kwa biashara na makazi bei ni maelewano msihofu kuhusu bei
Bei ni maelewano wakati umeshaandika mil 150?