kiwanja kizuri kinauzwa

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
kipo mwananyamala karibu na baa ya roya, ukubwa ni 80 kwa 60, kipo mita mbili toka barabarani, umeme na maji vipo kama mita moja na nusu, kuna banda moja watu wanaishi, bei milioni 90. Dalali hatakiwi. Piga 0714-408238.
 
Kiwanja kipo mita mbili toka kwenye barabara!.,buy it on your own risk maana Magufuli akitaka tu kupanua barabara ujue umeliwa.
 
Kiwanja kipo mita mbili toka kwenye barabara!.,buy it on your own risk maana Magufuli akitaka tu kupanua barabara ujue umeliwa.

Acha umbea ndgu, aliyekwambia hayo ni nani?
 
Kiwanja kipo mita mbili
toka kwenye barabara!.,buy it on your own risk maana Magufuli akitaka tu
kupanua barabara ujue umeliwa.

Ndio maana anauza kashashi2kia, umeona.
 
Kiwanja kipo mita mbili toka kwenye barabara!.,buy it on your own risk maana Magufuli akitaka tu kupanua barabara ujue umeliwa.

Jamaa alijua anakisifia kumbe ndiyo anaharibu, JF bana watu wanasoma btn lines.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…