wakuu kama kawaida tangaza mahala Jamii inapokutana.
Kinahitajika kiwanja Mkoa wa DSM sio lazima pawe mjini sana hata maeneo ya nje ya mji poa tu, size kuanzia mita 30*40 kiwe kimepimwa au kama hakijapimwa nitamipa mwenyewe ila kisiwe na mgogoro.
Nicheki kwa PM au 0767698281 tufanye biashara. Asanteni.