Kiwanja kinauzwa

Kiwanja kinauzwa

dnyando

Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
25
Reaction score
0
Kiwanja kinauzwa kipo goba kinzudi kwa mtenga kipo vizuri kabisa kinafikika wakati wote ukubwa 30m x 35m bei M17 maongezi kidogo yapo wasiliana 0715210298
 
Yaani kinzudi ninunue kiwanja milioni 15 acheni ujinga nyie madalali na sasa hivi jamaa amezuia dili zote hapa town hela ya buubaa hakuna sijui mtamuuzia nani hivyo viwanja bei ya nyumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom