kuna kingine hapa mbezi Msakuzi, 20x30 kipo kwenye kona ya mtaa, yaani kinafikiwa na barabara 2 (at T junction) umeme umeshafika, 6mil tu sina makuu. if you are a serious buyer you can PM me.
kuna kingine hapa mbezi Msakuzi, 20x30 kipo kwenye kona ya mtaa, yaani kinafikiwa na barabara 2 (at T junction) umeme umeshafika, 6mil tu sina makuu. if you are a serious buyer you can PM me.
kiwanja hakijapimwa na serikali, muuzaji alikuwa na eneo kubwa akalitengezea ramani kwa kushirikiana na kijiji na kukata viwanja zaidi ya 100. vipimo hapo ni hatua za mtu mzima (miguu). moreorless the same as mita.
kuna kingine hapa mbezi Msakuzi, 20x30 kipo kwenye kona ya mtaa, yaani kinafikiwa na barabara 2 (at T junction) umeme umeshafika, 6mil tu sina makuu. if you are a serious buyer you can PM me.