Kiwanja kinauzwa

gozo

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
458
Reaction score
86
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970
 

Mpigi Magohe viwanja vimepimwa?
 
Huko ni jahanam, maana utafikiri kana kwamba uko Tunduru vile kumbe ndani ya Darisalama
 

Asante sana, unatumia muda gani kutoka mbezi ya kimara kufika huko?? Avatar yako nimeipenda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…