Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970
Mpigi Magohe viwanja vimepimwa?
Labda anamaanisha kupimwa na futi-kamba ili kujua ukubwa wake!!!
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970
hapana mkuu hati halali ipo wala usiwe na hofu..