Ninauza kiwanja changu kipo vikindu eneo linaitwa kazole kilomita saba kutoka barabara ya lami. Kina msingi wa master na chumba kingine. Yapo matofali zaidi ya mia mbili. Kiwanja kina ukubwa wa futi mia kwa futi 60. Gari inafika mpaka kwenye kiwanja. Kipo kwenye mpangilio wa mitaa. Bei milioni nane na nusu maelewano yapo. Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0768140063. Kiwanja ni changu