Mbona bei kubwa sana hiyoKiwanja Kinauzwa. Kipo maeneo ya Kimele Bagamoyo, Kabla hujafika Shule ya BaoBab unaingia upande wa Kushoto kama umetokea Bunju Dar es Salaam. Kipo umbali wa Kilometa 2 kutoka Barabara Kuu ya Lami. Ukubwa ni 30*15. Bei ni 6Mill. Maelewano yapo.
pana huduma gani za jamii,,,kimepimwa???hebu toa maelezo yalokamilika,,,,km mbili na kama nyuma tu ya hiyo shule,,,au umesema tu kulainisha watu
kuna maji na umeme,,,ww ni dalali au mwenye eneoOk mkuu kiwanja hakijapimwa ila kipo karibu na huduma zote Shule, Kanisa, Dispensary, Barabara, maduka....n.k