Kimepimwa??? Mbona hujaweka mawasaliano mkuu. Kipo msalato karibu na wapi????Habari zenu wadau, poleni na majukumu, kiwanja kinauzwa mkoani Dodoma maeneo ya Msalato, kina ukubwa wa 20 kwa 45, huduma zote muhimu kama umeme, maji, usafiri zinapatikana kwa urahisi kabisa, hakijapimwa being ni sh. 3,000,000 tu, karibuni sana