Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Zanzibar

baby seky

Member
Joined
Apr 18, 2019
Posts
10
Reaction score
13
Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar Kiwengwa, kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea. Kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakini pia kwa biashara

Nauza kwa tsh 30million maongezi yapo 🙏

Namba ya simu 0764090800
 
Watanganyika tunaruhusiwa kuja Kununua?...
Sheria ya ardhi Zanzibar inasemaje kuhusu umiliki wa ardhi?
 
33×30 kitu gani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…