Kiwanja chenye ukubwa wa sq metre 486 yani urefu 27 upana 18 bei ni 15 mill maongezi yapo kipo mita 900 toka ilipo stand ya daladala ya TABATA segerea hakijapimwa ukihitaji wasiliana nami kwa namba 0622-027490
mkuu kwa bei iyo kiwanja ambacho hakija pimwa ni ngumu kupata mteja japo wapo wachache.Ila bei yako iko mbali sana kuna mtu anauza nyumba kule KUPATANA 20M halafu wewe uwanja tu 15M anyway wasubiri waje wazee wa kuzichota waje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.