K Kabachubya Member Oct 6, 2009 87 10 May 30, 2012 #1 Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika. kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178
Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika. kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178
nachid JF-Expert Member Apr 14, 2011 936 203 May 30, 2012 #2 weka bei ili anaekupigia awe na la kuongea
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,194 May 30, 2012 #3 Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!!
Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!!
K Kabachubya Member Oct 6, 2009 87 10 May 30, 2012 Thread starter #5 bei ni maelewano lkn inaanzia 12m.
kelvito JF-Expert Member May 30, 2012 386 100 May 30, 2012 #6 Kabachubya said: bei ni maelewano lkn inaanzia 12m. Click to expand... kaaziii kwelikweli duuu!
K Kabachubya Member Oct 6, 2009 87 10 May 30, 2012 Thread starter #7 bei poa kabisa hiyo na inaongeleka.
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,462 29,163 May 31, 2012 #8 Power said: Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!! Click to expand... Technology ya 3D imeshika kasi mpaka kwenye viwanja, Hapo ni urefu x upana x kimo. (3-Dimensions)
Power said: Mkuu hivyo vipimo vyako vinanipa tatizo kuvielewa. Kwa mtu ambaye amesoma geometry kidogo atatambua kwamba unazungumzia umbo la BOX!! Click to expand... Technology ya 3D imeshika kasi mpaka kwenye viwanja, Hapo ni urefu x upana x kimo. (3-Dimensions)
K Kabachubya Member Oct 6, 2009 87 10 May 31, 2012 Thread starter #9 Mtu yoyote anayehitaji mwenye 10 million kama kweli anania ya kununua tuwasiliane.
webondo JF-Expert Member Apr 29, 2012 1,713 382 May 31, 2012 #10 Kabachubya said: Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika. kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178 Click to expand... Weka bei hapo, halafu biashara ikishafanyika usisahau kuwalipa JF kwani umeweka tangazo la biashara ubaoni.
Kabachubya said: Kiwanja chenye ukubwa wa 15m kwa 15m kwa 18m na kwa mbele ni 23meters,kipo bondeni kuliko endelea, bei inazungumzika. kwa mawasiliano 0717 123 464 au 0762 101 178 Click to expand... Weka bei hapo, halafu biashara ikishafanyika usisahau kuwalipa JF kwani umeweka tangazo la biashara ubaoni.