Kiwanja kinauzwa Salasala Dar.

Kiwanja kinauzwa Salasala Dar.

Joined
Mar 31, 2018
Posts
7
Reaction score
3
Kiwanja kipo Salasala Kilimahewa juu jirani na Maliasili. Kina documents za umiliki zinazotambuliwa na serikali ya mtaa na kata. Kina ukubwa wa miguu 22 kwa 25. Kina nyumba (underground) ambayo bado haijakamilika pamoja na msingi juu ya underground, Bei 18M. Piga 0682760900 kwa maelezo ya ziada.
IMG-20180331-WA0022.jpg
IMG-20180331-WA0019.jpg
IMG-20180331-WA0023.jpg
IMG-20180331-WA0024.jpg
 
Hivi ni "underground" ama ni "foundation"? maana watu watakuwa na mawazo kwamba hiyo nyumba imeanzia kujengwa kunzia chini wakati labda una maanisha kwamba ni msingi wa Nyumba ulijengwa kiasi fulani cha kuta!!
 
Hivi ni "underground" ama ni "foundation"? maana watu watakuwa na mawazo kwamba hiyo nyumba imeanzia kujengwa kunzia chini wakati labda una maanisha kwamba ni msingi wa Nyumba ulijengwa kiasi fulani cha kuta!!
Ni underground boss.
 
charityjackson "Underground" ni nyumba inayoanzia kujengwa chini ya ardhi na juu yake inajengwa nyumba nyingine. Hii ya kwako kuna nyumba moja imejengwa mteremkoni na nyingine itajengwa kwenye mwinuko.

Hiyo ya chini haioneshi kama imejengwa ikiwa na nguzo "Beam" kuweza kubeba nyumba nyingine juu yake. Lakini hata kama ingekuwa na hizo nguzo bado haijafikia kuwa na sifa ya kuitwa "underground floor" kwa namna yoyote ile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom