Nina imani utapata hitaji la moyo wako.
Kipo Lukobe Block 10, kimepimwa na kina ofa.
Kimejengwa chumba kimoja cha self ambacho hakijamaliziwa ila tayari kimeezekwa.
Area 800m (20.51/39.02) bei Tsh. 12m. Kinaangalia barabara ya daladala ziendazo Lukobe. Block kiliyopo inapakana na Block ya nyumba za NSSF Lukobe.
Karibu sana, kama uko interested waweza pm. Then tunaongea.
Vivutioo ni mlima
Rafiki kwa eneo kama hilo hebu jipe kwanza miaka mitatu mbele ya kusubiri ili upate hiyo bei ya 12m.
Nayafahamu maeneo hayo na mimi nina nyumba yangu mitaa hiyo.