Sembeta jr
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 805
- 367
Kipo kihonda kwa chambo kimepimwa na kina hati ukubwa wake ni sq mita 1000 bei inaanzia sh milioni nane...,.ni pm kama uko na nia.
Kihonda ipi?kina offer/hati?
Sory nilichanganya bei....kiwanja hko kinauzwa mil 5. Cha milioni nane kipo juu kidogo ya milima ya uluguru karibu na shule ya nguzo
Hiki cha karibu na Nguzo kina hati?
Maongezi yapo?