Dalali_wa_kimataifa
Senior Member
- Apr 16, 2025
- 174
- 171
Bongo sijui hizi bei wanatoaga wapi... Yaani unakuta kabisa kiwanja dar kinathamani kuliko nyumba London, U.K, Dubai... Wakati hilo jengo hapo pembeni halina hata wapangajiHiyo Hela unanunua finished houses au apartment zaidi ya 3 either USA, south Africa au Dubai for business
Yani plot inauzwa bilion 4 TshBongo sijui hizi bei wanatoaga wapi... Yaani unakuta kabisa kiwanja dar kinathamani kuliko nyumba London, U.K, Dubai... Wakati hilo jengo hapo pembeni halina hata wapangaji
Udalali unaongeza gharamaYani plot inauzwa bilion 4 Tsh
Ndio maana wakijenga apartment hapo unakuta Bei za kupangisha zinakuwa juu sana. Kwasababu gharama zinakuwa juu mno.
Hiyo Hela ukienda Marekani unanunua majumba ya kufa mtu. Tena kwenye miji mizuri kabisa yenye sewage system nzuri , umeme na maji uhakika , sio hapo makelele ya Bodaboda na maji taka
Ndiyo maana kasema ya biashara. Hizo nyumba hapo juu utapangisha kwa shilingi ngapi na return yake baada ya muda ganiYani plot inauzwa bilion 4 Tsh
Ndio maana wakijenga apartment hapo unakuta Bei za kupangisha zinakuwa juu sana. Kwasababu gharama zinakuwa juu mno.
Hiyo Hela ukienda Marekani unanunua majumba ya kufa mtu. Tena kwenye miji mizuri kabisa yenye sewage system nzuri , umeme na maji uhakika , sio hapo makelele ya Bodaboda na maji taka
Au palm Jumeirah kule baharini na chenchi inabakiApartment Burj khalifa kabisa
Hahahahaha hatari sanaAu palm Jumeirah kule baharini na chenchi inabaki
Kila la kheri wapate mteja
HahahaNakitaka nakuja pm mkuu
Lazima kdg uutishie umaskini