Kiwanja kinauzwa, kipo Mbuyuni njia ya kwenda Tegeta, Kina ukubwa wa 20x20,
Kutoka barabarani mpaka kwenye kiwanja ni mwendo wa dakika 5 kwa bajaji,
Kinauzwa Shilling Milioni 15, ambaye yupo serious ani pm au anipigie kwa
namba 0787 280 130. karibuni.