Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

Ndussi

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
17
Reaction score
4
Kiwanja kinauzwa kiko
Mbezi Makabe,kiko barabarani ila siyo barabara kuu.ukubwa wake ni urefu hatua 62,upana hatua 32,kina karatasi za mauziano,bei ni maelewano bei ya kuanzia mil 15 call 0714
/0765 666 662 Katibu sana
 
Makab
Kiwanja kinauzwa kiko
Mbezi Makabe,kiko barabarani ila siyo barabara kuu.ukubwa wake ni urefu hatua 62,upana hatua 32,kina karatasi za mauziano,bei ni maelewano bei ya kuanzia mil 15 call 0714
/0765 666 662 Katibu sana
Makabe sehemu gani? Karibia na nini?
 
Unapita kanisa la Rc karibu na kwa Pesapesa
 
Kama unataka mita hadi nimtume mtu akapime lkn hizo hatua zimezoeleka tu na unaposema hatua means za mtu mzima
 
Mkuu kuna milion 8 hapa tufanye business
 
Uko chini Sana mkuu ongeza ongeza,pia ni vema ukaenda kupaona ni pazuri labda ukipaona hata hiyo pesa niliyotamka utaona value yake
 
Faru john tuwasiliane bac kwa no hizo,tukamilishe biashara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…