Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe

Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe

frank255

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
5
Reaction score
0
Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
 
Mkuu nina kiwanja hapo Mbezi kwa Msumi,sehemu ni Tambarare kabisa,ukubwa ni 20 kwa 20 na ninaanzia kama milioni 5 tu,na mazungumzo kidogo yanaweza zingatiwa,ukiwa tayari nicheki 0655 44 64 60
hiyo 20×20 ni mita au miguu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom