Kiwanja kinauzwa, kipo Tegeta A

Kiwanja kinauzwa, kipo Tegeta A

TechTino

Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
71
Reaction score
25
Kiwanja kinauzwa tegeta a kipo karibu na barabara, umeme

Maji

Makazi


sqm 1500 kwa mil 24
 
Nimependa mazingira ya kiwanja chako n hapo mwisho kwenye mti ndio mwisho wa mpaka wake?vp kimepimwa
 
Kiwanja kinauzwa tegeta a kipo karibu na barabara, umeme

Maji

Makazi


sqm 1500 kwa mil 24
Tshs 24,000,000/ Sqm 1,500
= Tshs 16,000/Sqm 1

By the way mbona kama kiko Bondeni??
Na Huu mti wa huku mwanzo uko kwenye Kiwanja chako au ni wa Jirani??
 
Nimependa mazingira ya kiwanja chako n hapo mwisho kwenye mti ndio mwisho wa mpaka wake?vp kimepimwa
Huu mti kweli hata Mimi umenichanganya aisee,
Nadhani ndio mpaka labda,
Ngoja tusubiri jibu aje afafanue kuhusu huu mti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom