Kiwanja kinauzwa, kipo Mkuranga

Kiwanja kinauzwa, kipo Mkuranga

segela

Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
78
Reaction score
69
Kiwanja kinauzwa kipo Mkuranga maeneo ya dundani karibu na shule ya msingi mita 40 kutoka barabara ya Kilwa road .

Kina upana wa mita 30 na urefu mita 40 kina miembe 3 minazi 5 na migomba 5 pamoja na mazao mengine bei ni 10m.
 
Bei haishuki kidogo mkuu hakuna ambacho kina mazao cha kawaida mkuu huko mkuranga
 
Kiwanja kinauzwa kipo Mkuranga maeneo ya dundani karibu na shule ya msingi mita 40 kutoka barabara ya Kilwa road kina upana wa mita 30 na urefu mita 40 kina miembe 3 minazi 5 na migomba 5 pamoja na mazao mengine bei ni 10m

Mkuu kiwanja kinatazama barabara kuu? Kama jibu ni ndio njoo pm tuelewane maana nahitaj kiwanja kinachotaza barabara nifungue kiwanda kidogo cha kuzalisha unga wa sembe niwauzie huko mkuranga, si wateja mpo tele?
 
Bei haishuki kidogo mkuu hakuna ambacho kina mazao cha kawaida mkuu huko mkuranga

Bei ni ya kawaida hiyo kulingana na maeneo kilipo, kwa upande wa mazao vinaweza kuwepo vingi lkn Mimi nimezungumzia cha kwangu
 
Mkuu kiwanja kinatazama barabara kuu? Kama jibu ni ndio njoo pm tuelewane maana nahitaj kiwanja kinachotaza barabara nifungue kiwanda kidogo cha kuzalisha unga wa sembe niwauzie huko mkuranga, si wateja mpo tele?

Wateja wapo tu na biashara matangazo na ubora wa bidhaa zako, hakitazamani na Barabara ya rami kutoka kwenye rami ipo nyumba moja tu ndani ya mita 30 lakini pia ipo Barabara ya mtaa pembeni yake, kwa kufungua kiwanda ni sehemu nzuri
 
Mkuu kiwanja kinatazama barabara kuu? Kama jibu ni ndio njoo pm tuelewane maana nahitaj kiwanja kinachotaza barabara nifungue kiwanda kidogo cha kuzalisha unga wa sembe niwauzie huko mkuranga, si wateja mpo tele?

Hicho kiwanja labda kwa makazi lakini ukiweka kiwanda ujiandaye na fine za nemc maana ukubwa huo hautoshi kiwanda.
 
Hicho kiwanja labda kwa makazi lakini ukiweka kiwanda ujiandaye na fine za nemc maana ukubwa huo hautoshi kiwanda.

Mkuu sio kiwanda kikubwa, ni vile vidogo vya kijasiliamali tu vya kulisha wilaya basi....yaani unaprocess sembe unauza, kibali unachukua tfda tu hao nemc cjui zec tupa kule
 
Kiwanja kinauzwa kipo Mkuranga maeneo ya dundani karibu na shule ya msingi mita 40 kutoka barabara ya Kilwa road .

Kina upana wa mita 30 na urefu mita 40 kina miembe 3 minazi 5 na migomba 5 pamoja na mazao mengine bei ni 10m.

Mkuu kiwanja bado kipo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom