Kiwanja kinauzwa kina foundation

Kiwanja kinauzwa kina foundation

Jodari

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
120
Reaction score
16
Kiwanja chenye foundation ya pande mbili kila upande una vyumba 3, choo,jiko, sitting room kina ukubwa mita 16 kwa 21. Kipo mbande mtaa wa kisewe Kata ya chamanzi. Ukitoka sokoni kwa miguu ni 10min. Kipo mtaani kabisa kwenye kona, tambalale gari inafika.

Bei ni milioni 12.

Wasiliana na bolingo namba 0712873967
Email: fahshana@yahoo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom