Kiwanja kinauzwa kimara.

Kiwanja kinauzwa kimara.

Victor Mganga

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
26
Reaction score
4
Habari wakuu,
-Kiwanja kipo kwa kimara mwisho kwa komba.
-Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati.
-kipo sehemu ya tambalale
-Mita 20 kwa 25
-Bei Milion 12
-Maelewano yapo
-0712595635
 

Attachments

  • KIWANJA.jpg
    KIWANJA.jpg
    77.5 KB · Views: 50
Habari wakuu,
-Kiwanja kipo kwa kimara mwisho kwa komba.
-Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati.
-kipo sehemu ya tambalale
-Mita 20 kwa 25
-Bei Milion 12
-Maelewano yapo
-0712595635
Milioni 6 mkuu sasa hivi nikutafte.
 
Kimara kwa Kombo ndiyo wapi mkuu, mais y'a kigongo au bonyokwa ?
Mkuu Mimi wala sikujui huko. Akikubaliana na offer yangu ndio ntakutafta ni wapi. Labda ngoja aje atueleze ni wapi huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom