Kiwanja kinauzwa Kiluvya

Kiwanja kinauzwa Kiluvya

dumbu

Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
24
Reaction score
2
Nauza kiwanja miguu 20×20 ,kwa 6,000,000tsh .eneo lipo kiluvya kwa Komba km 4 from morogoro road#0744639217#
 
Nauza kiwanja miguu 20×20 ,kwa 6,000,000tsh .eneo lipo kiluvya kwa Komba km 4 from morogoro road#0744639217#



Duu bei imetulia hiyo mkuuu
mimi nauza MITA 20X20 Kibamba 2m.
 
Kabamba sehemu gani na niumbali gani kutoka morogoro road?

ukishuka kibamba Shule unapanda gari zinaelekea kibwegere sh.500/- ukifika hapo unaweza kutembea au kuchukua bodaboda sh.1000 utakua umefika
 
Sasa wewe hicho kiwanja leta hapa haraka na nyaraka zake sahihi za umiliki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom