Kiwanja kinauzwa kiko Babati

Kiwanja kinauzwa kiko Babati

Fitsa

Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
38
Reaction score
10
Kiko Mkoa Wa Manyara Ndani Ya Manispaa Ya Babati Kata Ya Nangara Mtaa Wa Mkuyuni "A" Kina Eneo La 1995m.Sq. Kiko Pembeni Mwa Barabara (siyo Kuu) Na Kina Nguzo Za Umeme Na Bomba Kuu Ya Maji Ya Bawasu.Pia Kina Nyumba Iliyojengwa Mpaka Lenta Ya Vyumba 4 Vya Biashara.Bei Maelewano.Simu 0784747687
 
Natafuta kiwanja goba, au kigamboni kisipungue 900 sqm bajet ni tsh 12 mil. Kiwe kimepimwa.. email yangu @
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom