Kiwanja kinauzwa Kigamboni kisiwani

Kiwanja kinauzwa Kigamboni kisiwani

MWANASIASA HURU

Senior Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
180
Reaction score
244
Heri ya Mwaka mpya wadau.

Nina kiwanja changu kiko maeneo ya Kigamboni, sio mbali sana toka ferry.

ukubwa ni sqm 465.

barabara ipo

kama upo interested karibu pm tubagain. bei maelewano. ahsante
 
Last edited:
Heri ya Mwaka mpya wadau.

Nina kiwanja changu kiko maeneo ya Kigamboni, sio mbali sana toka ferry.

ukubwa futi 98urefu na 50 upana.

barabara ipo

kama upo interested karibu pm tubagain. bei maelewano. ahsante
Weka bei humuhumu tubageni hakuna kinachoshindikana tukielewana tunakuja kilipana tu.
 
Ndani ndani karibu na kwa mzee nani au nyumba ya nani? maeneo hayo m mwenyeji kidogo.

Mh! unakihitaji? kama unapafahamu sidhani kama maswali mengi yana tija, generaly ungejenga tu picha halisi ya eneo lolote unalolifahamu then ukafuger out kama unahitaji au lah. ni rahisi sana kwa eneo ulilowahi kufika kujua kama ni eneo zuri kwako au sio. generaly speaking ni eneo zuri.
 
Vipi Mkuu Hakipo Ndani Ya Mita 60 Za Magufuli?
 
Last edited:
Wanunuzi kuweni makini na ununuzi wa maeneo ya kigambo hasa kwenye eneo lililotengwa kwa ajili ya mji mpya. Lukuvi keshaziwekea nyumba nyingi alama ya X kwa ajili ya kupisha upanuzi wa barabara zitakazoungia kutokea daraja jipya.

Kwa hivyo kabla hujanunua make sure unaangalia masterplan ya New City pale KDA ili kujiridhisha eneo halipo sehemu ya miundombinu na matumizi halisi ya hilo eneo ( Usijejikuta eneo limekusudiwa kujenga Golf Course ). Afu ukapata taabu ya kumsaka mwekezaji kwenye uwanja wa Golf.
 
Wanunuzi kuweni makini na ununuzi wa maeneo ya kigambo hasa kwenye eneo lililotengwa kwa ajili ya mji mpya. Lukuvi keshaziwekea nyumba nyingi alama ya X kwa ajili ya kupisha upanuzi wa barabara zitakazoungia kutokea daraja jipya.

Kwa hivyo kabla hujanunua make sure unaangalia masterplan ya New City pale KDA ili kujiridhisha eneo halipo sehemu ya miundombinu na matumizi halisi ya hilo eneo ( Usijejikuta eneo limekusudiwa kujenga Golf Course ). Afu ukapata taabu ya kumsaka mwekezaji kwenye uwanja wa Golf.
Kwa maelezo ya jamaa kiwanja kilipo sidhani kama kitakuwa ktk sehemu ya utanuzi wa barabara na kama kikiwa barabarani, huyo atakayenunua kwa 10milionz basi asubiri malipo mazuri kwa ajili ya ujenzi mpya wa barabara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom