Hi wana JF,
Nina kiwanja changu kipo maeneo ya Kigamboni sehemu iitwayo Mwasonga, kituo cha daladala kinaitwa Mwembe mdogo karibu kabisa na ulipo mradi wa NSSF wa ECO house.
Viwanja ni viwili kwa kimoja na ukubwa ni kama robo tatu ya heka. Kiwanja kipo mita 500 kutoka barabara ya lami iendayo kiwanda cha cement.
Kutoka barabara ya lami kwenda kilipo kiwanja kuna barabara kubwa ya vumbi ambayo inapita mbele kabisa ya kiwanja.
Kwa muhitaji aliye serious tuwasiliane kwa namba 0625 616851, ili niweze kukupa namba ya mtu atakae kuelekeza kilipo na kukusaidia uweze kufanya ukaguzi.
Naomba kuwakirisha.
Nina kiwanja changu kipo maeneo ya Kigamboni sehemu iitwayo Mwasonga, kituo cha daladala kinaitwa Mwembe mdogo karibu kabisa na ulipo mradi wa NSSF wa ECO house.
Viwanja ni viwili kwa kimoja na ukubwa ni kama robo tatu ya heka. Kiwanja kipo mita 500 kutoka barabara ya lami iendayo kiwanda cha cement.
Kutoka barabara ya lami kwenda kilipo kiwanja kuna barabara kubwa ya vumbi ambayo inapita mbele kabisa ya kiwanja.
Kwa muhitaji aliye serious tuwasiliane kwa namba 0625 616851, ili niweze kukupa namba ya mtu atakae kuelekeza kilipo na kukusaidia uweze kufanya ukaguzi.
Naomba kuwakirisha.