Kiwanja kinauzwa Kibaha

Kiwanja kinauzwa Kibaha

Mwitakesowani

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
94
Reaction score
29
Nauza kiwanja changu kibaha. Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0786855280. Kiwanja kimepimwa
 
Nimempigia anasema kina ukubwa wa 20x20, anauza milioni 34. Kibaha maili moja
 
Atakuwa hayuko serious kabisa mi naishi kibaha milioni tano u apata kiwanja high density kikiwa na hati tena yenye jina lako! IPO miradi mingi sana ya viwanjwa vya makazi.
 
HAYA MIL.1.8 mpakan mwa kibaha na ksarawe kpo center na ni road, ukubwa urefu 70m, upana juu 26, chn 16 MAONGEZ YAPO utalpa kwa awamu ruksa,maji,mawe,kokoto kibao na ni tambalale panaitwa musese upta kongowe ya kbaha 0764726071
Hii 70M unamaanisha nini?
 
Atakuwa hayuko serious kabisa mi naishi kibaha milioni tano u apata kiwanja high density kikiwa na hati tena yenye jina lako! IPO miradi mingi sana ya viwanjwa vya makazi.
Muwe mnasoma sms vizuri. Huyo anayesema amepiga hajapiga simu. Hamna haja ya kucommeny ishu usio nauhakika waliotaka kujua nishawasilian Nao natayar nishawapeleka
 
Nimempigia anasema kina ukubwa wa 20x20, anauza milioni 34. Kibaha maili moja
Kama wewe ni mwanaume jichunguze upya utakuwa na matatizo si bure na kama ni mwanamke jirekebishe. Hiki nikiwanja kilichopimwa na walio serious nishawaonesha baki kufurahisha jukwaa kwa akili zako
 
U
HAYA MIL.1.8 mpakan mwa kibaha na ksarawe kpo center na ni road, ukubwa urefu 70m, upana juu 26, chn 16 MAONGEZ YAPO utalpa kwa awamu ruksa,maji,mawe,kokoto kibao na ni tambalale panaitwa musese upta kongowe ya kbaha 0764726071
Geanzisha thread yako kuuza hicho chako. Mnaboa sana
 
weka bei na picha, ndo biashara za mtandaoni zinavyoenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom