milion tano kwa kongowe kwa sasa ni ndoto, nakupa laki tano nichekiHabari JF..kiwanja kinauzwa kiko kibaha kongowe kina ukubwa wa mita 15 kwa 15 bei kuanzia million 5.Karibu kwa maelewano.
15m x 15m = 225SqmHabari JF..kiwanja kinauzwa kiko kibaha kongowe kina ukubwa wa mita 15 kwa 15 bei kuanzia million 5.Karibu kwa maelewano.
kama huko mbali hvo 5ml je
mbezi kimara itakuwa ngapi? Kuwa realistic man, mt 15 kwa 15, n kwa
matmz gan?
15m x 15m = 225Sqm
Tshs 5,000,000/225Sqm
= Tshs 22,220/Sqm
Hiyo ni Kibaha Kongowe na hakijapimwa!!
You are not serious for sure!!
Nyinyi ndio mnaojaza sever za JF kwa unnecessary posts a.k.a Pumba!!
Habari JF..kiwanja kinauzwa kiko kibaha kongowe kina ukubwa wa mita 15 kwa 15 bei kuanzia million 5.Karibu kwa maelewano.
Huwezi kujua matumizi yake kwa sasa kwa kuwa huna..aliyekuambia kwa sasa kimara kuna viwanja nani?? ardhi inapanda thamani kila kukicha usiponunua leo huwezi kununua kesho maana hali ya kesho itakuwa tete zaidi.
yani wewe akili huna..kwa uelewa wako wa kimulugo kongowe ni porini mpaka useme laki tano?? sina dhiki nauza navyotaka wala sina haraka.
Sasa hii bei yako ni tamaa iliyopitiliza, hapo Kongowe njia ya kwenda kule misitu kuna nyumba ya mama mmoja na eneo safi kabisa ingawa haijaisha vizuri na anauza Millioni Saba tu, labda uwatafute wauza unga watanunua
Mkuu acha kujifariji,hiyo
bei yako,ukubwa wa eneo na mahali kilipo hamna sio sahihi.eneo ni dogo
sana hilo na halijapimwa hivyo punguza bei.Viwanja vya serikali
vilivyopimwa kigamboni cha Sqrm 600,30 kwa 20 unapata kwa 4.8M.huoni
hapo kuwa haupo realistic? Hata kama ardhi imepanda thamani ila sio kwa
kiwango hicho
Sasa hii bei yako ni tamaa
iliyopitiliza, hapo Kongowe njia ya kwenda kule misitu kuna nyumba ya
mama mmoja na eneo safi kabisa ingawa haijaisha vizuri na anauza
Millioni Saba tu, labda uwatafute wauza unga watanunua
nawe unaona umeandika cha maana hapo?? stupid.
Hata viwanja vya watu binafsi vilivyopimwa unapata kwa 5.4M kiwanja cha 30 kwa 20,tena kimepimwa na kigamboni ni karibu kuliko kongowe.Mbaya zaidi kiwanja chako mtu hawezi kujenga nyumba ya kuishi,hilo eneo unatakiwa uuze kwa chini ya 1M,na pia huko kongowe ekari moja inauzwa laki 3 mpaka 5 kwa sasa,sasa kwanini nisinunue ekari moja ninunue hako kakiwanja kaduchu kwa mbei mbaya hvyo wakati vyote havijapimwa? Fikiria hayo mkuu utaelewa,you overrated ur plotso kwa uelewa wako ulitaka kiuzwe bei gan?? mkuu hiki siyo kiwanja cha serikali.