Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 May 5, 2014 #1 Habari JF..kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa mita 15 kwa 15 kiko Kibaha Kongowe bei milioni 5 na maelewano.
Habari JF..kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa mita 15 kwa 15 kiko Kibaha Kongowe bei milioni 5 na maelewano.
Mwana Ilala JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 1,286 Reaction score 488 May 6, 2014 #2 Kimepimwa!? Au ni Cha kienyeji!??? Umbali na Barabara ya Morogoro!? Weka wazi.
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 May 6, 2014 Thread starter #3 Kimepimwa..kiko mbele ya barabara ya zamani ya morogoro na panafikika kirahisi kabisa.
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 May 6, 2014 Thread starter #4 smartapartments said: Kimepimwa!? Au ni Cha kienyeji!??? Umbali na Barabara ya Morogoro!? Weka wazi. Click to expand... Mkuu kimepimwa kiko mbele ya barabara ya zamani ya morogoro na panafikika kirahisi kabisa.
smartapartments said: Kimepimwa!? Au ni Cha kienyeji!??? Umbali na Barabara ya Morogoro!? Weka wazi. Click to expand... Mkuu kimepimwa kiko mbele ya barabara ya zamani ya morogoro na panafikika kirahisi kabisa.
R Rakeem Member Joined Aug 9, 2011 Posts 94 Reaction score 12 Jan 3, 2015 #5 15 by 15 milion 5 ! Mzee hizo ni sqm 225 tu hata robo ya robe heka hakijafika