Gazillionaire
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 235
- 59
Nauza Plot ya ukubwa wa mita 40 kwa 30 Kibada kwa Milioni 3.5. Haina hati, mwenye kuhitaji ani PM tafadhali
Hapana sio kweli! Hilo ni eneo tofauti! Isitoshe kuna majengo mengi mapya ya watu, haiwezekani kufanyika process kama hiyo kwa sababu tayari ni makazi ya watu yaliyopimwaHuko cndio manspaa wanapima viwanja na kuviuza na vingine wakiwafidia wale wanaohamishwa km kurasini .