Kiwanja kinauzwa kibada, kina hati.

Kiwanja kinauzwa kibada, kina hati.

crak

Member
Joined
Apr 6, 2011
Posts
37
Reaction score
5
Kiwanja kinauzwa kibada kigamboni kina ukubwa wa 498 sq na chenye hati yake. Bei ni 14ml. kwa maelezo zaidi nipigie kwenye no hii 0719077350.
 
tatizo huko wala hapaeleweki, ukinunua alafu ile kwako na hii serikali yenyewe ya mazinguzi
 
Sqm 600 full shangwe wanauza 12m bei ya kuanzia ukiwa na 10m mkononi unachukua,kwa sqm hizo chukua 8m.
 
tatizo huko wala hapaeleweki, ukinunua alafu ile kwako na hii serikali yenyewe ya mazinguzi

Mkuu kungekuwa hakueleweki serikali kupitia halmashauri ya Temeke wakishirikiana na kampuni binafsi wasingekuwa wanapima na kuuza viwanja.Hawa jamaa wanataka kupapandisha thamani ili wauze maeneo yao,wao wanashikilia maeneo makubwa huko hawana wasiwasi.
 
Sqm 600 full shangwe wanauza 12m bei ya kuanzia ukiwa na 10m mkononi unachukua,kwa sqm hizo chukua 8m.
Ukizungumzia Kibada, na hasa pale full shangwe nakuamini Kamanda wangu. Maana najua ndio mitaa yako ya kujidai pale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom