Dalali mbeya jiji
Member
- Mar 18, 2025
- 66
- 35
Endapo umefanya utafiti wa kina una haki ya kuhoji.Huna Nia ya kuuza , yaani eneo 30×40 ndo milion 40 basi hela imeshuka thamani aisee
Mi sio muuzaji. Bei anataja mwenye mali. So? Kuna 30×40 vinauzwa hadi 50m.Huna Nia ya kuuza , yaani eneo 30×40 ndo milion 40 basi hela imeshuka thamani aisee
IHuna Nia ya kuuza , yaani eneo 30×40 ndo milion 40 basi hela imeshuka thamani aisee
Mi sio muuzaji. Bei anataja mwenye mali. So? Kuna 30×40 vinauzwa. Acha nikufuatilie kwenye page yako ili nijifunze. Maana humu ndani usipoweka koma, usipoweka kutio, uspoweka alama ya kuuliza nayo ni hoja. Haaa!! Msiwakatishe watu tamaa.
Kazi ni kuangalia udhaifu tuu!! Mbona page zenu zipo kawaida sana na udhaifu kibaao!!