gwami g Member Joined Dec 16, 2013 Posts 19 Reaction score 1 Aug 21, 2014 #1 Nauza kiwanja Dodoma mjini,kipo eneo la Ipagala North karibu na Shule ya Makole Sekondari. wasiliana nami 0714664361
Nauza kiwanja Dodoma mjini,kipo eneo la Ipagala North karibu na Shule ya Makole Sekondari. wasiliana nami 0714664361
Chatumkali JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 2,037 Reaction score 459 Aug 21, 2014 #2 Umbali gani kutoka barabara ya Swaswa?Kina ukubwa meter ngapi kwa ngapi?weka na bei kabisa ili kama inashawishi tuanze kukupigia!
Umbali gani kutoka barabara ya Swaswa?Kina ukubwa meter ngapi kwa ngapi?weka na bei kabisa ili kama inashawishi tuanze kukupigia!
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Aug 25, 2014 #3 Chatumkali said: Umbali gani kutoka barabara ya Swaswa?Kina ukubwa meter ngapi kwa ngapi?weka na bei kabisa ili kama inashawishi tuanze kukupigia! Click to expand... Umeuliza maswali ya msingi sana
Chatumkali said: Umbali gani kutoka barabara ya Swaswa?Kina ukubwa meter ngapi kwa ngapi?weka na bei kabisa ili kama inashawishi tuanze kukupigia! Click to expand... Umeuliza maswali ya msingi sana
M M2mishi JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 719 Reaction score 274 Aug 26, 2014 #4 Acha ubabaishaji unaweka namba za nini kama hata bei yenyewe hujaweka?