Kiwanja kizuri sana kinauzwa kipo Dodoma eneo la Mlimwa “c” wengine wanapenda kupaita kwa Waziri mkuu
Kimejengewa kabisa na msingi.
Bei ni nafuu sana.
View attachment 1098366View attachment 1098367View attachment 1098369
Kama utakuwa interested wasiliana nasi kupitia 0789 805 698
Au kama upo Dodoma Fika katika ofisi zetu zilizopo mji mpya Dodoma