Kiwanja kinauzwa CBD area Kibaha

Kiwanja kinauzwa CBD area Kibaha

mlugha

Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
89
Reaction score
39
Nauza kiwanja Mimi sio dalali kiwanja kipo morogoro road CBD area sio makazi ni kwa ajili ya Biashara nk cont 0757240144
 
Mwenye hela achukue wakuu,Kibaha is the new Dar es Salaam,weka bei msipende biashara za inbox mnafukuza wateja.
mkuu ile stand inaanza kazi lini?
 
Wanaml
Mwenye hela achukue wakuu,Kibaha is the new Dar es Salaam,weka bei msipende biashara za inbox mnafukuza wateja.
mkuu ile stand inaanza kazi lini?
Wako katika finish ya mwisho itakuwa tayari MWezi wa 11
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom