Kiwanja kinauzwa Burega, Kigoma

Kiwanja kinauzwa Burega, Kigoma

Neema Massawe

Member
Joined
Aug 13, 2014
Posts
44
Reaction score
9
Kiwanja cha 50X25 kilichopo maeneo ya Burega kinauzwa. Kinapakana na ufukwe wa Lake Tanganyika. Kuna Servants Quarter yenye vyumba viwili na varanda. Kina hati. Bei TZS 15 M. Mawasiliano 0772977330
 
Kiwanja cha 50X25 kilichopo maeneo ya Burega kinauzwa. Kinapakana na ufukwe wa Lake Tanganyika. Kuna Servants Quarter yenye vyumba viwili na varanda. Kina hati. Bei TZS 15 M. Mawasiliano 0772977330

Tuma picha za hiyo servant kota na vipi kuhusu umeme na maji?
 
Je ni upande ule wa Viwanja vya Aifola au Upande wa Maweni?
Na pia kuna Barabara inayotoka kule Kitongoni inaunganisha na Bangwe,je inapita umbali gani.
Na je Kipimo hicho ni futi au mita?
Kimepimwa na kina hati(Tittle Deed)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom