Kiwanja kinauzwa Bunju 6M

Kiwanja kinauzwa Bunju 6M

TREPS one

Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
17
Reaction score
9
KIWANJA KINAUZWA, Mil 6--BUNJU.

Ukubwa:- M25/M30.
Eneo. Kinondo, unashuka Bunju shule, unaelekea upande wako wa kushoto kama unatokea Mwenge.

Umbali:- Nikama Km 2 kutoka barabarani.

NB. Nimakazi Mapya na watu wengi wanajenga na huduma kama maji, umeme vinapatikana karibu na eneo.

Umiliki!:- Linamilikiwa kihalari na kabla ya malipo utatakiwa kujilidhisha kwa kufanya uhakiki.


Mawasiliano:- Tafadhali wasiliana nasi kwa 0756021619

Tai Real Estate and Procurement Services.
 
Mkuu hizi ni mita au hatua? Maana kama ni mita hicho ni kiwanja kikubwa, kwa maeneo hayo na kwa bei hiyo... atakayekinunua atakuwa kajipatia bahati ya mtende wallah...
 
Mkuu hizi ni mita au hatua? Maana kama ni mita hicho ni kiwanja kikubwa, kwa maeneo hayo na kwa bei hiyo... atakayekinunua atakuwa kajipatia bahati ya mtende wallah...
Hiki kiwanja kipo kama unavyokiona kipo KINONDO-BUNJU.kwa wanaoijua vizuri bunju, ni karibu kidogo na yalipokuwa mashamba ya Waziri Sumaye. Nimakazi mapya, but kwa wanaojua Kinondoni inakua halaka sana.Kwa wanaoijua kinondoni watakuwa wanajua ninachokiongea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom