oi ! Hivi Goba ni Kubaya? Maanake nakumbuka miaka fulani nilipokuwa mtumiaji wa Mabasi nikienda Tegeta au Mbezi Makondakta wakisema Njia panda ya Goba abiria Kimya... Akisema Tangi Bovu Utasikia wanaibuka wengi Shusha.... oi
Bado hakuna maendeleo hadi ukitaka kuuza kiwanja lazima upaite Mbezi Mwisho enh!