Kiwanja Kinatafutwa

Hyasinter

Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
7
Reaction score
1
Bajeti yangu ni 7M..Natafuta kiwanja kiwe Mbezi ya kimara,Kibamba na maeneo mengine karibu na Barbara ya morogoro..Ushauri napokea pia
 
Mkuu ungefunga hapa ingekuwa vema coz wengi wanashida hizo
 
Kama kuna mtu anataka kiwanja maeneo ya kigamboni kwa bei nafuu aniPM
 
Anaye hitaji Kiwanja Maeneo ya Kitunda tuwasiliane. Kiwanja kina Huduma zote Muhimu kama Umeme na Mitaa iliyopangika. 8kms toka Banana Aviation House. Size ya Plot ni 50sqft X 100sqft.

Kwa Mtu Anayehitaji Kiwanja kwa ajili ya Makazi, hiki Kiwanja sio cha kukosa.

Call/Whatsapp: 0715-240140
 
nend
Bajeti yangu ni 7M..Natafuta kiwanja kiwe Mbezi ya kimara,Kibamba na maeneo mengine karibu na Barbara ya morogoro..Ushauri napokea pia
Nenda Kimara mwisho maeneo ya Bonyokwa kuna viwanja vya bei hiyo
 
Bei ikoje?
 
Ninacho mbezi msakuzi 20x20 m6.5 karibuni
 
mi natafuta maeneo ya Goba, makongo hadi changanyikeni kama unacho tafaadhali
 

Bei sh ngap
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…