Kiwanja kinahitajika Morogoro

Kiwanja kinahitajika Morogoro

Molimi

Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
17
Reaction score
19
Kiwe maeneo ya mkundi mwenye nacho weka bei na ukubwa wa kiwanja
 
Nusu heka ipo upana mita 33 na urefu mita 78, kuna kajumba kadogo kimeezekwa kwa bati tisa, kipo kiegea A, million 9
 
Kiwe maeneo ya mkundi mwenye nacho weka bei na ukubwa wa kiwanja

Mkuu, sogea na town kidogo nikuuzie plot yangu ya kayenzi! maelezo yake yapo hapa chini


Eneo ilipo plot: Kayenzi (karibu kabisa na Kayenzi sekondari) - ukiingilia njia ya viwandani - eneo lipo baada ya kupita viwanda. Ni kilomita takribani 2.5 kutoka eneo la kihonda Magorofani.

Miundombinu: Kiwanja kimepimwa na kipo eneo lililopimwa (surveyed), Umeme umefika eneo la kiwanja, maji ya bomba yameshaingizwa kwenye plot, barabara safi mpaka kwenye kiwanja.

Ukubwa wa kiwanja: Kiwanja kina ukubwa wa mita za eneo 1621 (yaani 1621m2)

Bei: Milioni 16, maongezi yapo.

Wasiliana nami kupitia 0625899030
 
Daa
Mkuu, sogea na town kidogo nikuuzie plot yangu ya kayenzi! maelezo yake yapo hapa chini


Eneo ilipo plot: Kayenzi (karibu kabisa na Kayenzi sekondari) - ukiingilia njia ya viwandani - eneo lipo baada ya kupita viwanda. Ni kilomita takribani 2.5 kutoka eneo la kihonda Magorofani.

Miundombinu: Kiwanja kimepimwa na kipo eneo lililopimwa (surveyed), Umeme umefika eneo la kiwanja, maji ya bomba yameshaingizwa kwenye plot, barabara safi mpaka kwenye kiwanja.

Ukubwa wa kiwanja: Kiwanja kina ukubwa wa mita za eneo 1621 (yaani 1621m2)

Bei: Milioni 16, maongezi yapo.

Wasiliana nami kupitia 0625899030
Upo juu Sana mkuu
 
Back
Top Bottom