Kiwanja keko magurumbashi kinauzwa 1.5m

Kiwanja keko magurumbashi kinauzwa 1.5m

Joined
Aug 9, 2017
Posts
97
Reaction score
85
Ukubwa wa 500sqm kina leseni ya makazi kutoka wizara ya ardhi maelezo zaidi nifate pm
IMG-20171008-WA0008.jpg

1eb57217dd757af41724bac1dbf603a7.jpg

e6d5cd914bdeed2c240c115e2f1e93b5.jpg
 
150sqm, hata kibanda cha bata hakitoshi kujenga hapo
 
keko mjini kabisa kiwanja kinauzwa 1.5m.. hapo kama sio mferejini.. maana hata bondeni hapauzwi bei ndogo hivyo.. basi ni eneo la wazi.. mtu anapigwa pm
 
Hongera,
Gari inafika mpaka kwenye Kiwanja??
Waweza kuweka picha ya Majirani zako na Kiwanja kilivyo??
Gari haifiki mpaka kiwanjani kwa sababu ni bondeni kidogo huduma zote umeme na maji zipo. Picha za majirani sina kwa sasa ila kuna nyumba nzuri tu hapo zimejengwa
Gari unaiacha sehemu then unatembea kama dk5 kutoka ulipoacha gari
 
Ndio 1,500,000tsh nimeolewa na ninahama nchi so inabidi niuze tu hata kwa hasara
Mh! Haiingii akilini. Uuze kwa hasara kisa umeolewa! Kwann usikiuze taratibu kwa thamani yake halisi? Hata ndugu huna wakusimamia hilo wakati wewe upo nje ili akiuza ukutumie pesa? Hapa kuna harufu ya kulizwa mtu.
 
Mh! Haiingii akilini. Uuze kwa hasara kisa umeolewa! Kwann usikiuze taratibu kwa thamani yake halisi? Hata ndugu huna wakusimamia hilo wakati wewe upo nje ili akiuza ukutumie pesa? Hapa kuna harufu ya kulizwa mtu.
Hayo ni mawazo yako & you are free to think whatever you want
 
jaman tangu lini ukaambiwa keko kuna kiwanja labda kwa keko bununue jumba bovu. viwanja vipo chanika; kibaha;mbagala:::::::;;;
 
Ambao mna shaka si muende site mkakione,
Sasa mnabishana hapa na site hamjafika??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom