Chukua shamba mkuranga au msata la Bei Kama ekari moja kwa laki mbili hivi,chenchi itakayobaki week mbuzi ,mbegu ya mapacha,kwa kipindi kifupi tu utakua nao wengi,punguza Kisha nunua ng'ombe,ushauri tu
Chukua shamba mkuranga au msata la Bei Kama ekari moja kwa laki mbili hivi,chenchi itakayobaki week mbuzi ,mbegu ya mapacha,kwa kipindi kifupi tu utakua nao wengi,punguza Kisha nunua ng'ombe,ushauri tu
Chukua shamba mkuranga au msata la Bei Kama ekari moja kwa laki mbili hivi,chenchi itakayobaki week mbuzi ,mbegu ya mapacha,kwa kipindi kifupi tu utakua nao wengi,punguza Kisha nunua ng'ombe,ushauri tu
Ushauri mzuri saana ILA kuna mimasai inaamini MBUZI wote duniani ni wao.Plz uwe makini ulinzi wa mbuzi unatakiwa uwe mkali kuliko ulinzi wa Ngombe.Hawa wamasai wanarudisha watu nyuma saana juzi kati wamevuna mbuzi 80 wa jama yangu, amebaki anaulizia njia ya kwenda sumbawanga kila siku
Ushauri mzuri saana ILA kuna mimasai inaamini MBUZI wote duniani ni wao.Plz uwe makini ulinzi wa mbuzi unatakiwa uwe mkali kuliko ulinzi wa Ngombe.Hawa wamasai wanarudisha watu nyuma saana juzi kati wamevuna mbuzi 80 wa jama yangu, amebaki anaulizia njia ya kwenda sumbawanga kila siku