kitunguu nilicholima sasa kipo tayari

Bei ya Kitunguu inategemea na msimu, subiri ukivuna ndo usikilizie. Masoko makubwa ni Dar, Zanzibar an Comoro. Ukija ukikuta soko limenuka, we chukua mzigo Ruaha kama uko vizuri ulete uuuhifadhi sehemu kama unachumba, kitunguu kianhitaji hewa. Nikupe siri, niliwahi kufanya hii, soko likibuma we pita wka wamagenge cheki wananunua kiasi gani halafu wasambazie kwa bei unayoona inalipa, wakijua ulipo wanakuja kuchukua mzigo wenyewe utauza kwa vindoo au kilo mpaka ushangae na inalipa sana kuliko gunia zima. Ila shida ni nafasi na yenye hewa visioze.

EPUKA MADALALI! WANAJUA KUSHAWISHI MBAYA ILA UTALA!
 

Mimi natoa changu by june mwishon nipo hapa hapa ruaha mbuyun mkuu unaonaje kukafahamiana tupeane changamoto ya soko
 
Nami natarajia kufanya kilimo Cha kitunguu Mungu akipenda mwaka huu. Naomba Msaada namna ya kupata shamba maeneo ya ruaha mbuyuni na pia hatua Za kufuata kuhakikisha sipati hasara
 
Nami natarajia kufanya kilimo Cha kitunguu Mungu akipenda mwaka huu. Naomba Msaada namna ya kupata shamba maeneo ya ruaha mbuyuni na pia hatua Za kufuata kuhakikisha sipati hasara

mkuu ww ni mjasiriamali kweli?kwamba unatarajia kulima tena mwaka huu?wapi labda?maana kwa ruaha msimu ndo unapita...anyway...msaada unaouhitaji km kweli upo siriaz ni vyema ungetembelea maeneo husika ukajionea hali halisi........nasema hivyo maana conditions zimetofautiana...za ruaha sio lazima ziwe sawa na za singida
 

Mkuu samahani naomba unieleweshe kitu inakuwaje Ruaha kuna kuwa na Msimu wakati wana maji ya kumwagilia? Kilimo cha kumwagilia nacho kina msimu?
 
Mkuu samahani naomba unieleweshe kitu inakuwaje Ruaha kuna kuwa na Msimu wakati wana maji ya kumwagilia? Kilimo cha kumwagilia nacho kina msimu?

Kuanzia july kuendelea wadudu weng na bei iko chini ndio maana ya msimu
 
Kuanzia july kuendelea wadudu weng na bei iko chini ndio maana ya msimu

kuongeza baadhi ya mimea photoperidioc ie sensitive to daylight hours and this varies with season. Hivo kuna short day, long day and day neutral plants.
 
kuongeza baadhi ya mimea photoperidioc ie sensitive to daylight hours and this varies with season. Hivo kuna short day, long day and day neutral plants.

Sijakusoma mkuu funguka zaidi
 
kuongeza baadhi ya mimea photoperidioc ie sensitive to daylight hours and this varies with season. Hivo kuna short day, long day and day neutral plants.

Kwa hiyo kitunguu kipo upande gani? Short au long? Wazee wa SUA njooni hapa mtowe darsa. Thanks
 
Mtoa mada nakupongeza kwa hatua. Kwa haraka haraka unazo kama 5M. Congrats and keep it up.
 
Natarajia Kulima mwezi wa Saba mwishoni.nipeni muongozo wadau.
 
Mkonowapaka umekua kimya mkuu nliku PM namba yangu mi tayar nshavuna na kuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…