Nimeona kwenye insta,Maulid kitenge,akiwa anasoma magazeti,huku akiwa ndani ya chumba kinachoonesha ni studio ya VOA,je ni kweli kahamia huko,mwenye taarifa atujuze
Nimeona kwenye insta,Maulid kitenge,akiwa anasoma magazeti,huku akiwa ndani ya chumba kinachoonesha ni studio ya VOA,je ni kweli kahamia huko,mwenye taarifa atujuze
Kwenye ukurasa wa Mange anaonekana akisoma magazeti,huku akidai yoote yameandika ubaya wa uongozi Trump,ila inaonyesha anauponda uongozi wa Rais wa Fiji alikotoka yeye!
Kwenye ukurasa wa Mange anaonekana akisoma magazeti,huku akidai yoote yameandika ubaya wa uongozi Trump,ila inaonyesha anauponda uongozi wa Rais wa Fiji alikotoka yeye!
Nimeona kwenye insta,Maulid kitenge,akiwa anasoma magazeti,huku akiwa ndani ya chumba kinachoonesha ni studio ya VOA,je ni kweli kahamia huko,mwenye taarifa atujuze
Nimeona kwenye insta,Maulid kitenge,akiwa anasoma magazeti,huku akiwa ndani ya chumba kinachoonesha ni studio ya VOA,je ni kweli kahamia huko,mwenye taarifa atujuze