muda wa uchumba fekero nyingi mana mtu umwambie ukweli akikumwagaaa,inakuejee afu ndo ushamzimikia,
tutajuana mbele kwa mbele,
kuna vitu being a woman huwezi ukatajaa tuu ili mwanaume wako akufahamu vizur,mfano ur sexual past n relationships,hapo.lazma upunguze namba,ikibidi useme hujawah kuwa serious na hzo habar,unaangalia lakn na mtu
haya kuna ingine let's say.kazi za nyumbani hupendi na huwa hufanyii mfano kufua labda au.deki,hivi uanze kabsa kupiga.promo oh me sipendi.kufua,say.whooo,ndani ya ndoa ndo utajua,
haya labda napenda viwanja sanaa,kwa mupenzi ambae unaona ana mwelekeo inabidi u regulate kdogo hii sekta,nk...
fekero.ztaendele kuwepo mana some of us can't handle real shit,mbele ya safari sasaaa heheheh,Mungu atusaidie ndoa zidumu